Jerry Muro ameitwa na Kamati ya Maadili ya TFF ilikujieleza kutokana na vitendo vyake kabla ya mechi ya Yanga na TP Mazembe...Ni mara ya 3 Muro anaitwa mbele ya Kamati hiyo...Muro ni Mkuu wa Kitengo cha Habari Yanga...Muro anatakiwa kufika ofisi za TFF tarehe 2 au kama hatoweza atume mwakilishi kwa maandishi...Bofya hapa upate habari zaidi.
0 Yorumlar